Psalms 145:1-2
Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu
(Wimbo Wa Sifa. Wa Daudi)
1 ▼
▼ Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 13b) ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bNitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,nitalisifu jina lako milele na milele.
2 cKila siku nitakusifu
na kulitukuza jina lako milele na milele.
Copyright information for
SwhKC